2 Corinthians 6:15-16

15 aKuna mapatano gani kati ya Al-Masihi na Beliari?
Beliari hapa ina maana ya uovu, kutokumcha Mungu.
Yeye aaminiye ana sehemu gani na yeye asiyeamini?
16 cKuna mapatano gani kati ya Hekalu la Mungu na sanamu? Kwa kuwa sisi tu Hekalu la Mungu aliye hai. Kama Mungu alivyosema: “Nitakaa pamoja nao na kutembea katikati yao, nami nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu.”
Copyright information for SwhKC